Giggs ajiengua Wales kuelekea kombe la Dunia

Ryan Giggs aliyekua kocha wa Wales

Aliyekua kocha mkuu wa timu ya taifa ya Wales Ryan Giggs ametangaza kujiuzulu rasmi nafasi ya kukinoa kikosi chataifa hilo, baada ya kusimama kazi hiyo tangu mwezi Novemba 2020 akikabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa kijinsia alioufanya nyumbani kwake jijini Manchester.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS