Mtoto wa miaka 14 auawa Geita

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linaendelea na uchunguzi juu ya tukio la mauaji ya Johnson Thomas 14, mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Buhalahala iliyopo halmashauri ya mji Geita ambaye mwili wake uliokotwa pembeni ya mto siku sita baada ya kupotea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS