Rais wa Rotary atoa msaada kwa wanafunzi 800
Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta leo Juni 20 alitembelea vyombo vya habari vya IPP, ambapo akiwa East Africa TV na East Africa Radio alikabidhi taulo za kike pakiti 10500 zilizotolewa na taasisi yake kwa ajili ya kampeni ya Namthamini.