Rais wa Rotary Club atembelea Muhimbili

Rais wa Rotary Club duniani, Shekher Mehta akiwasili hospitali ya Muhimbili

Rais wa Rotary Club Duniani, Shekher Mehta amefanya ziara katika hospitali ya Muhimbili wodi ya watoto wanaougua saratani mbalimbali ambayo taasisi hiyo imechangia na inaendelea kuchangia huduma mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS