Rais wa Rotary Club duniani, Shekher Mehta akiwasili hospitali ya Muhimbili
Rais wa Rotary Club Duniani, Shekher Mehta amefanya ziara katika hospitali ya Muhimbili wodi ya watoto wanaougua saratani mbalimbali ambayo taasisi hiyo imechangia na inaendelea kuchangia huduma mbalimbali.