KITM wametimiza ahadi yao kwa mtoto wa kike

kutoka kushoto Mkutubi wa chuo cha KITM, Dorotea Tobias na Mkuu wa chuo hicho Ahmed Mbezi wakikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Mwanne Othman.

Katika kuunga mkono kampeni ya Namthamini na kuhakikisha mtoto wa kike hakosi masomo kwa kukosa taulo za kike, wadau wetu chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) leo walituletea mchango wa taulo za kike pakiti 128.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS