Watuhumiwa wa mauaji ya mtoto Geita wakamatwa
Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linawashikilia watu wanne wakazi wa kata ya Ibambila wilayani Nyanghwale kwa tuhuma za kumbaka na kumuua hadharani Dorcas Mathias mtoto wa miaka 7, huku wakihusishwa na imani za kishirikina.