Mwili wa Padri aliyeuawa na kutenganishwa waagwa

Jeneza lililobeba mwili wa Padri Michael Samson

Mwili wa Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya, Michael Samson, aliyeuawa na mwili wake kukutwa umetenganishwa kichwa na kiwiliwili na kisha kuviringishwa kwenye duveti na blanketi na kutupwa kwenye mto huo, umeagwa hii leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS