Kane amkingia kifua Southgate kipigo cha Hungary

(Nahonda Harry Kane na kocha Gareth Southgate - England)

Nahodha wa Engaland Harry Kane amemkingia kifua kwa kumtetea kocha mkuu wa timu hiyo Gareth Southgate kwa kusema kocha huyo ndiye mtu sahihi wa kuinoa England na watu hawapaswi kuwa na shaka nae hata kama England kufungwa 4-0 dhidi ya Hungary.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS