Simba yaanza ujenzi wa Mo Simba Arena

Afisa mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez akiwa na wakandarasi.

Afisa mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez amesema kuwa leo wameongozana na msanifu majengo (architect) kwa ajili ya kutembelea eneo la Bunju ili kukagua mipaka na eneo ambalo litatumika kwenye ujenzi kabla ya Ijumaa Bodi ya Wakurugenzi Simba kukutana

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS