Aliyeandika kitabu cha jinsi ya kuua mme ahukumiwa

Nancy Crampton Brophy, aliyehukumiwa kifungo cha maisha

Mwandishi wa kitabu chenye jina lisemalo 'Jinsi ya kumuua mume wako' kutoka nchini Marekani aitwaye Nancy Crampton Brophy, mwenye umri wa miaka 71 amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya mume wake aliyoyatekeleza mwaka 2018.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS