"Bajeti itakuwa imebeba matumaini " - Dkt Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kwamba hotuba ya bajeti kuu ya serikali atakayoisoma hii leo itakuwa imebeba matumaini ya Watanzania na kuwaomba muda ukifika waifuatilie. Read more about "Bajeti itakuwa imebeba matumaini " - Dkt Nchemba