Golden State washinda Game 5, NBA Final

Worriors wanahitaji ushindi katika mchezo 1 kutangazwa mabingwa wa NBA msimu huu

Timu ya Golden State Worriors imeshinda mchezo wa 5 (game 5) wa fainali ya Ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA uliochezwa leo Alfajiri. Golden State wameifunga Boston Celtics kwa alama 104 kwa 94.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS