Kocha Geita Gold afunguka Mpole kutua Simba

Mfungaji bora wa msimu 2021 - 2022 George Mpole.

Kocha Mkuu wa kikosi cha Geita Gold, Fred Felix Minziro, ameweka wazi kuwa ni kweli kuna uwezekano mkubwa wakampoteza straika na nahodha wa kikosi chao, George Mpole ambaye anatajwa kupokea ofa kutoka klabu za Simba na Yanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS