Polisi kuwasaka waliomuua Padre na mwili kuutupa

Kushoto ni Padre Michael Samson, na kulia ni RPC Mbeya Ulrich Matei

Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya, limetangaza msako kwa wahusika wote wa mauaji ya Padre wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya, Michael Samson (63), Raia wa Malawi, kilichotokea  kwenye mazingira ya kutatanisha baada ya kutoweka na mwili wake kupatikana maeneo ya Sabasaba kando ya mto Meta.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS