Madrid yamsajili Tchouameni kwa Bilioni 244 Aurelian Tchouameni Klabu ya Real Madrid ya Hispania imekamilisha usajili wa kiungo Aurelian Tchouameni kutoka klabu ya AS Monaco ya Ufaransa. Kiungo huyo amesaini miaka 6 atatambulishwa rasmi Juni 14, 2022. Read more about Madrid yamsajili Tchouameni kwa Bilioni 244