TCRA yawataka wakulima kutumia fursa ya mitandao

Wakulima wakiwa katika shughuli za kilimo

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wakulima kutumia fursa za mitandao katika kujikwamua kiuchumi kwa kutafuta huduma mbalimbali kama huduma za masoko ya mazao wanayozalisha na yale yanayopatikana katika maeneo yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS