Jamhuri yakata rufaa kesi ya Lissu
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa niaba ya Jamhuri amefungua shauri la mapitio juu ya uamuzi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu
Akiwasilisha taarifa hiyo mahakamani leo Wakili wa Serikali Mkuu Renatus Mkude amesema taarifa hiyo mapitio imeungwa mkono na kiap

