Katibu mkuu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donald Mbando.
Mganga Mkuu wa Serikali nchini Tanzania, Dkt Donan Mmbando.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Wanamichezo wa sanaa ya mapigano wakiwa katika picha ya pamoja katika moja ya maonesho yao.