Naibu waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania Bi. Angela Kairuki (kushoto).
Makamu wa rais wa chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS) wakili Bi. Flaviana Charles (kushoto).
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.