Mjumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria - LAS Bw. Gideon Mandes (mwenye miwani) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba