Waziri wa maliasili na utalii wa Tanzania, mheshimiwa Lazaro Nyalandu.
Waziri Nyalandu akiongea na Waandishi wa Habari katika moja ya mikutano (Hawapo Pichani)
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.