Mvua na mafuriko imekuwa chanzo cha kuharibu miundombinu kama inavyoonekana pichani hapo juu.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.