Moja ya miradi nya utafutaji mafuta na gesi ambayo uongozi wa shirika la maendeleo ya petroli TPDC umeshindwa kuweka wazi mikataba yake.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.