Jamhuri Kihwelo 'Julio' na Michael Richard Wambura wanaongombea nafasi za makamu wa Rais na Makamu Rais mtawalia, wakirejesha fomu za ugombea makao makuu ya klabu hiyo.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.