Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara.
Kikosi cha timu ya soka ya Simba.
Wachezaji wa Yanga Malimi Busungu (katikati), Amis Tambwe (kushoto) na Haji Mwinyi (kulia) wakishangilia moja ya goli kwenye mechi za ligi kuu ya soka Tanzania bara.
Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.
shirikisho la kandanda Tanzania TFF
Kikosi cha timu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji hatari wa Simba Mganda Hamis Kiiza akishangilia moja ya mabao yake.




