Kikosi cha timu ya taifa ya vijana Serengeti Boys wakiwa katika mazoezi kabla ya kuwavaa Wamisri watoto.
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Simba akipambana na wachezaji wa timu ya Mtibwa Sukar.
Pep Guardiola
Farid Mussa akiwa na wakala wake baada ya kutua hapo Hispania jana usiku
Farid Mussa akiwa Makao Makuu ya Deportivo Tenerife, Uwanja wa Heliodoro Rodriguez Lopez,visiwa vya Canary Hispania