Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.
Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.
Kikosi cha Serenget Boys
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk