Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Vodacom Tanzania Rene Meza
Rais Jakaya Kikwete akiwa na baadhi ya viongozi pamoja wachezaji wa Tanzania watakaoshiriki michuano ya madola.
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam