Mratibu wa Chama cha Utabibu wa Tiba Asili nchini Tanzania - ATME, Boniventura Mwalongo.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.