Makabidhiano yakifanyika,
Waziri kivuli wa nishati na madini nchini Tanzania, mbunge wa Chadema John Mnyika.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.