Mmoja wa wachezaji wa mpira wa kikapu akionyesha staili ya mtindo wa miruko[ dank]
Moja ya timu shiriki katika ligi ya mpira kikapu taifa NBL ikikaguliwa kabla ya mchezo.
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo
Mtangazaji na Dj mkongwe wa kituo maarufu cha EA Radio Emsley Smith aka Baba T