Mmoja wa wachezaji wa mpira wa kikapu akionyesha staili ya mtindo wa miruko[ dank]
Moja ya timu shiriki katika ligi ya mpira kikapu taifa NBL ikikaguliwa kabla ya mchezo.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.