Waziri Magufuli akishiriki katika usimamizi wa matengenezo sehemu ya daraja la Kizinga latika barabara ya Kilwa huko Mbagala Kongowe.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.