Sehemu ya umati wa waumini waliokusanyika kuliombea taifa katika uwanja wa Magereza Kisongo, Arusha
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.