Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete katika msiba wa dada yake Jakaya Kikwete
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013