Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Alfred Msovella akimuongoza aliekua Mkuu wa Mkoa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi wakati akikagua ujenzi wa ndani wa nyumba za shirika la nyumba .
Picha ya Mzee Onyango
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo