Jezi mpya za Taifa Stars zilizozinduliwa leo kutoka kushoto ni Jezi ya mazoezi, Jezi ya nyumbani na jezi ya ugenini
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.