Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia Mkoani Njombe wakiwa kwenye msafar wa kumsindikiza mtia nia wa kugombea ubunge Njombe Kusini.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.