Mkuu wa idara ya habari wa klabu ya Yanga Jerry Muro akizungumza baada ya kutua TAKUKURU.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.