Wachezaji wa timu ya Chile wakishangilia wakiwa na kombe lao la ubingwa wa michuano maalumu ya Copa America.
Sebastian Perez wa Colombia (kulia) akipasua katikati ya wachezaji wa Marekani.
Mpanzua na viongozi wa Simba
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescentius Magori na Inno Loemba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka