Joh Makini (Kushoto) na Sam Misago

Wasanii waliofanikiwa kupenya kwenye EATV Awards wakiwa kwenye semina iliyoandaliwa kwa ajili yao.

Wasanii wanaoshiriki EATV Awards wakiwa kwenye semina

Wawakilishi kutoka EATV, Baclays, BASATA, Vodacom na Innovate katika mkutano na wanahabari.
Ibrahim kutoka Vodacom (Kushoto) akiwa Dullah katika Planet Bongo iliyoruka LIVE kutoka Mabibo Hostel, akitangaza majina ya wasanii walioingia katika Tuzo za EATV
Dominician Mkama - Mkuu wa Kanda Dar es Salaam kutoka Vodacom Tanzania, akitaja majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo, ndani ya studio za EA Radio
Meneja Masoko na Mauzo wa EATV Roy Mbowe (Kushoto)

Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) Simon Mwakifwamba