Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ilolo wilayani Mbozi wakiwa katika paredi wakati wa kupandisha bendera ya taifa
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.