Katibu wa itikadi na uenezi mkoa wa rukwa Clemence Bakuli akiongea na viongozi wa jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Rukwa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro Jana
Irene Uwoya - Msanii wa filamu
Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wake wa Marais na Wakuu wa nchi za Afrika mara baada ya kikao cha kampeni ya kutokomeza ndoa za utotoni
Mwanamuziki wa bendi mpya nchini ya Stars Band, Anneth Kushaba