Kocha Mkuu wa Serengeti Boys Bakari Shime [kulia] na Afisa habari wa TFF Baraka Kizuguto [katikati] pamoja na mshauri wa ufundi wa Serengeti Boys Kim Paulsen [kushoto]
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013