Naibu waziri wa afya , maendeleo ya jamii wazee na watoto Mh. Hamis Kigwangwala wakati akitoa ripoti kwa waandishi wa habari juu ya hali ya kipindupindu nchini Tanzania
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.