Mganga Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita akizungumza na EATV muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Mpanzua na viongozi wa Simba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka