Baadhi ya wanafunzi wa timu za UMISETA wakiimba wimbo wa taifa katika moja ya mashindano hayo.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.