Mmoja wa Mafundi wa Umeme akiwa anaangalia mita ya Mteja kama imechezewa au la!!
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.