Afisa Mtendaji Mkuu wa UTT-PID Bw. Gration Kamugisha (kulia) akizungumza na wanahabari ambao hawapo kwenye picha.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.