Mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akiongea na Waandishi wa Habari mara baada ya kutoka Mahakamani Jana
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Wanamichezo wa sanaa ya mapigano wakiwa katika picha ya pamoja katika moja ya maonesho yao.