Marehemu Shida Salum ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe. Hii ni picha aliyopiga wakati wa enzi za uhai wake.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.